Ingia / Jisajili

Mfanyalo

Mtunzi: A.Family
> Mfahamu Zaidi A.Family
> Tazama Nyimbo nyingine za A.Family

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Aloyce Family

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Na kila mfanyalo kwa Neno au kwa tendo,fanyeni yote kwa jina la Bwa na Yesu Kristo

1..Msihukumu nanyi, msije mkahukumiwa,Msilaumu nanyi msije mkalaumiwa,achilieni nanyi mtaachiliwa.

2..Wapeni watu vitu maana nanyi mtapewa, kipimo chakujaa kusukwa na kumwagiza,ndiyo watawapa vifuani mwenu.

3..Neno la Kristo likae kwawingi ndani yenu, katika hekima yote mkifundishana na kuonyana kwazaburi nanyimbo na tenzi zarohoni. 


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa