Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson
Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Mafundisho / Tafakari
Umepakiwa na: Richard Samson
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Antifona / Komunio Dominika ya 5 ya Pasaka Mwaka A
- Antifona / Komunio Dominika ya 5 ya Pasaka Mwaka B
- Antifona / Komunio Dominika ya 5 ya Pasaka Mwaka C
Mimi ndimi mzabibu mzabibu wa kweli, Nanyi ni matawi ni matawi, asema Bwana;
(Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa sana, Aleluya) ×2
1.Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo matunda hulisafisha.
2.Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno; kwa sababu ya lile neno nililowaambia.
3.Mimi ni mzabibu nanyi ndio matawi yangu; akaaye ndani yangu nami hukaa ndani yake.