Ingia / Jisajili

Mimi Ndimi Mzabibu Wa Kweli

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Antifona / Komunio Dominika ya 5 ya Pasaka Mwaka A
- Antifona / Komunio Dominika ya 5 ya Pasaka Mwaka B
- Antifona / Komunio Dominika ya 5 ya Pasaka Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Mimi ndimi mzabibu mzabibu wa kweli, Nanyi ni matawi ni matawi, asema Bwana;

(Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa sana, Aleluya) ×2

1.Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo matunda hulisafisha.

2.Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno; kwa sababu ya lile neno nililowaambia.

3.Mimi ni mzabibu nanyi ndio matawi yangu; akaaye ndani yangu nami hukaa ndani yake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa