Ingia / Jisajili

Misa Ya Kristo Mfalme

Mtunzi: Essau Lupembe
> Mfahamu Zaidi Essau Lupembe
> Tazama Nyimbo nyingine za Essau Lupembe

Makundi Nyimbo: Misa

Umepakiwa na: ESSAU LUPEMBE

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                                                                                MISA YA KRISTO MFALME

Bwana utuhurunie, Bwana utuhurumie, utuhurumie Bwana, utuhurumie Bwana, utuhuru-mie Bwana, Bwana Bwana Bwa-na utuhurumie ...x2

Ee Kri-stu- Kristu utuhurumie, Kristu utuhurumie kristu, utuhurumie Kristu, utuhurumie  Ee Kristu , Kristu Kristu Kri-stu   utuhurumie ...x2

Bwana utuhurunie, Bwana utuhurumie, utuhurumie Bwana, utuhurumie Bwana, utuhuru-mie Bwana, Bwana Bwana Bwa-na utuhurumie ...x2

                                                                                                     UTUKUFU KWA MUNGU JUU

utukufu kwa Muingu juu na amani duniani kwa watu aliowaridhia,

tunakusufu, tunakuheshimu, kuheshimu tunakuabudu kuabudu tunakutukuza, Ee bwana mungu mfalme wa Mbingu, mungu Baba mwenyezi, Ee Bwana Yesu kristo Ee Bwana Mungu, Mwanakondoo wa Mungu mwana wa Baba.

Mwenye kuondoa dhambi za ulimwengu, pokea ombi letu, ewe mwenye kuondoa dhambi za ulimwengu utuhurumie utuhurumie.

Ewe mwenye kuketi kuume kwa Baba, utuhurumie utuhurumie.

Kwa kuwa ndiwe uliye peke yako Mtakatifu peke yako Bwana peke yako, Mkuu Yersu kristupeke yako Mkuu peke yako yesu kristu.

Pamoja na Roho Mtakatifu, katika utukufu wa Mungu Baba, Mungu Baba AMINA.


                                                                                       MTAKATIFU

Mtakatifu BwAna Mtakatifu Bwana Mungu wa majeshi ...x2

mbingu na dunia kweli zimejaa zimejaa utukufu wako ...x2

Hosana Hosana Hosana Hosana juu mbinguni Hosana, hosana juu mbinguni hosana juu mbinguni ...x2

mbalikiwa mwenye kuja kwa jina la Bwana.


                                                                                             MWANAKONDOO

Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za ulimwengu utuhurumie ...x2

Mwanakondoo wa Mungu uondoaye dhambi za ulimwengu uondoaye dhambi za ulimwnegu utujalie AMANI.




Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa