Ingia / Jisajili

Msifuni Bwana

Mtunzi: Norbert Hamaro
> Mfahamu Zaidi Norbert Hamaro

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Norbert Hamaro

Umepakuliwa mara 36 | Umetazamwa mara 98

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 25 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Msifuni Bwana anayewakweza (bwana) anayewakweza maskini. 1. Enyi watumishi wa Bwana, sifuni, lisifuni jina la Bwana daima. Jina lake Bwana lihimidiwe, tangu leo na hata milele. 2. Bwana ni mkuu juu ya mataifa yote, na utukufu wake ni juu ya mbingu. Ni nani aliye mfano wa Bwana, Mungu wetu aketie juu; anyenyekeaye kutazama, mbinguni na duniani? 3. Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, na kumpandisha maskini kutoka jaani. Amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa