Ingia / Jisajili

Mungu Wangu Mbona Umeniacha

Mtunzi: Alexander Francis Sitta
> Mfahamu Zaidi Alexander Francis Sitta
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander Francis Sitta

Makundi Nyimbo: Juma Kuu

Umepakiwa na: Alexander Francis Sitta

Umepakuliwa mara 1,002 | Umetazamwa mara 4,271

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Mungu wang ee Mungu wangu kwa nini Bwana kwa nini Bwana kwa nini Bwana umeniacha

1.Wote wanionao hunicheka sana hunifyonya wakitikisa vichwa vyao husema humtegemea Mungu na amponye amwokoe sasa maana apendezwa naye.

2.Wanagawana nguo nguo zangu na vazi langu wanalipigia kura ee Bwana,nawe Bwana usiwe mbali ee Mungu wangu fanya haraka kunisaidia.

3.Nalihubiri jina lako kwa ndugu zangu katikati ya kusanyiko nitakusifu ee Mungu, nanyi mnaomcha Bwana msifuni Bwana msifuni Bwana..


Maoni - Toa Maoni

ISAIAH Apr 17, 2017
077333

ISAIAH Apr 17, 2017
Pongeza, Kosoa.... Uwe mstaarabu

Toa Maoni yako hapa