Ingia / Jisajili

NDIWE KUHANI HATA MILELE

Mtunzi: Daniel Denis
> Mfahamu Zaidi Daniel Denis
> Tazama Nyimbo nyingine za Daniel Denis

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Daniel Denis

Umepakuliwa mara 537 | Umetazamwa mara 1,752

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Ndiwe kuhani , kuhani hata milele,kwa mfano, kwa mfano wa Melkizedeki

Mashairi: 1.Neno la Bwana kwa Bwana wangu,uketie mkono wangu wa kuume, hata niwafanyapo adui zako,

                     kuwa chini ya miguu yako.

                  2.Bwana atainyosha toka Sayuni, atainyosha toka Sayuni,fimbo ya nguvu zako, uwe na enzi,

                      uwe na enzi kati ya adui zako.

                   3.Kwa uzuri wa utakatifu, kwa uzuri wa utakatifu, tokea tumbo la asubuhi unaoumande,

                      waujana, waujana wako.

                  4. Bwana ameapa wala hata ghairi, ndiwe kuhani hata milele, kwa mfano wa Melkizedeki.

    


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa