Ingia / Jisajili

Nendeni Mkahubiri

Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Miito

Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA

Umepakuliwa mara 1,034 | Umetazamwa mara 3,156

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

 NENDENI MKAHUBIRI- Augustine Rutta

KIITIKIO; Nendeni mkahubri ( Nendeni)  Nendeni mkahubiri,

                 Nendeni mkahubiri amani, nendeni.

                Mkahubiri watu wote waishi kwa amani na upendo, waishi kwa amani

1. Kahubiri amani na upendo kwa watu wangu wote, wakapendane kama mimi nilivyo wapenda wote-jueni kwamba mimi Mungu wenu ni upendo.

2Matendo yenu yakaonekane kwa watu wangu wote, ili watu wote wajue kwamba mimi nimewatuma-.Maneno yenu yote yakahubiri amani

3.Nawatuma nendeni kati ya mbwa mwitu na kondoo, msichukue kitu chochote ninyi nendeni nimewatuma-Kafanye watu wote wakaishi kwa amani


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa