Ingia / Jisajili

Ni Nani Hawa

Mtunzi: Deo Kalolela
> Mfahamu Zaidi Deo Kalolela
> Tazama Nyimbo nyingine za Deo Kalolela

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 17,822 | Umetazamwa mara 27,279

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ni nani hawa watembeao kwa furaha (wote pamka) wakijongea Altare yake Mungu ni wateule wake Bwana walioalikwa kwa karamu x2

1.       Yakupasa ujiulize ndugu unakikwazo gani kinachokufanya uiogope meza ya Bwana

2.       Hebu watazame wenzako wanavyokwenda kwa furaha wakiijongea meza ya Bwana kwa karamu

3.       Bwana Yesu ameutwaa mwili wake kama chakula na damu yake kuitoa kwetu kama kinywaji


Maoni - Toa Maoni

George mulaa Apr 03, 2026
kuna tofauti ya hii nakala na ile ingine iliyo katika hii link https://www.swahilimusicnotes.com/song/download/38582/pdf/1654709863-ni-nani-hawa.pdf mahali bass wanaimba "walioalikwa kwa karamu"

Toa Maoni yako hapa