Ingia / Jisajili

Ni Nani Hawa

Mtunzi: Deo Kalolela
> Mfahamu Zaidi Deo Kalolela
> Tazama Nyimbo nyingine za Deo Kalolela

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 11,978 | Umetazamwa mara 20,286

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ni nani hawa watembeao kwa furaha (wote pamka) wakijongea Altare yake Mungu ni wateule wake Bwana walioalikwa kwa karamu x2

1.       Yakupasa ujiulize ndugu unakikwazo gani kinachokufanya uiogope meza ya Bwana

2.       Hebu watazame wenzako wanavyokwenda kwa furaha wakiijongea meza ya Bwana kwa karamu

3.       Bwana Yesu ameutwaa mwili wake kama chakula na damu yake kuitoa kwetu kama kinywaji


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa