Ingia / Jisajili

Niacheni niende

Mtunzi: Joseph J Mitepa
> Mfahamu Zaidi Joseph J Mitepa
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph J Mitepa

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Miito

Umepakiwa na: Joseph Mitepa

Umepakuliwa mara 505 | Umetazamwa mara 1,539

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Niacheni niacheni Mimi niende (niende)//niacheni nikatangaze neno lake ,pande zote kuu za dunia wote walisikie, waliishi maishani mwao uzima wajipatie , Ni a che ni,(niacheni )..niacheni nikalihubiri neno lake lipate kuenea. 1.Niache niende kutangaza neno lake ,kwa mataifa yote kwa mataifa yote watu wote duniani wakusifu wewe. 2.Njooni wazee njooni pia vijana / njooni watoto wote / mapadrepia watawa makasisi wote waje wakusifu wewe. 3.Niache niende kulihubiri neno kwa masikini wote / kwa matajiri wote walemavu na wajane wakufate wewe. Na mwisho Ee Mungu sifa na kurudishia (Mungu wangu )/ kinanda filimbi na ngoma kayamba vipigwe.. Soprano / niacheni niimbe ,niacheni nicheze ,niacheni niruke Mimi nimsifu Mungu ,nimwimbie Mungu. Alto/ Mimi niimbe Mimi acheni nicheze Mimi niruke nimsifu Mungu nimwimbie Mungu. Tenor/ acheni niimbe acheni nicheze,acheni Mimi niruke nimsifu Mungu nimwimbie Mungu. Bass//Niacheni mi niimbe pigeni na ngoma nicheze,niacheni mi niruke Mimi niruke nimsifu Mungu nimwimbie Mungu.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa