Ingia / Jisajili

Nimeionja Ekaristi

Mtunzi: Joseph Rimisho
> Mfahamu Zaidi Joseph Rimisho
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Rimisho

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: JOSEPH RIMISHO

Umepakuliwa mara 1,205 | Umetazamwa mara 3,163

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Shairi

1.Nimeionja Ekaristi, karamu ya uzima mpya.

   Hakika Kristo yuko hai, ameshibisha roho yangu.

Kiitikio

(Yesu mpenzi wa roho yangu nakutamani we, Yesu mpenzi wa roho yangu nipokee leo).x2

Mashairi

2.Yesu amenipa uhai, roho yangu yafurahia.

   Kwani yeye ndiye mpaji, na mlishi wa roho zetu.

3.Nimetubu na dhambi zangu, ili nimpokee Yesu.

   Yesu akiwa ndani yangu, hunifariji moyo wangu.

4.Hima ndugu jongea mbele, ushiriki karamu hii.

   Uyafute makosa yako, uyaache na ya dunia.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa