Ingia / Jisajili

Nistahilishe Bwana

Mtunzi: Felix Mulei M
> Mfahamu Zaidi Felix Mulei M
> Tazama Nyimbo nyingine za Felix Mulei M

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Felix Muley

Umepakuliwa mara 49 | Umetazamwa mara 201

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Nistahilishe mimi Bwana kukupokea moyoni mwangu x2 Kwani dhamira yangu inaniambia mimi sistahili, nakuomba nistahilishe kukupokea. 1. Maana mimi Bwana ni mdhaifu kwani matendo yangu ni ya dhambi, roho yangu Bwana inakutamani, Yesu wangu nistahilishe. 2. Mwili wako chakula chenye uzima, pia na damu yako ni uzima, ustahilishe moyo wangu uwe safi kuijongea meza yako. 3. Nifundishe kuhifadhi neema yako, unayonijalia leo hi, niliyopokea kwa Ekaristi, ewe Yesu karibu mwangu.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa