Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson
Makundi Nyimbo: Mwanzo | Zaburi
Umepakiwa na: Richard Samson
Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 2
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 5 Mwaka A
[Njoni, tumwabudu Mungu njoni tusujudu, (njoni) njoni tumwabudu Mungu, njoni tusujudu] x2
[Tupige magoti mbele za Bwana mbele za Bwana aliyetuumba; kwa maana ndiye Bwana Mungu wetu] x2.
01. Kwa maana ndiye Mungu ndiye Mungu wetu, na sisi tu watu wake wa malisho yake, na kondoo za mkono za mkono wake.
02.Ingekuwa heri leo tusikie sauti yake, tusifanye migumu mioyo mioyo yetu, tusifanye migumu mioyo yetu.