Ingia / Jisajili

Bwana Alinipaka Macho

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Antifona / Komunio Dominika ya 4 ya Kwaresma Mwaka A
- Antifona / Komunio Dominika ya 4 ya Kwaresma Mwaka B
- Antifona / Komunio Dominika ya 4 ya Kwaresma Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana alinipaka macho, nikaenda, nikanawa, nikapata kuona, nikamwamini Mungu, nikamwamini Mungu x2.

1.Mtu huyu hakuwa na dhambi yoyote, alizaliwa kipofu kuonyesha ukuu wa Mungu.

2. Yesu alitema mate na kufanya matope, akampaka huyo mtu naye akaona.

3. Majirani zake wakashangaa sana, aliyekuwa kipofu ameweza kuona tena.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa