Ingia / Jisajili

Roho Ndiyo Itiayo Uzima

Mtunzi: Alexander Francis Sitta
> Mfahamu Zaidi Alexander Francis Sitta
> Tazama Nyimbo nyingine za Alexander Francis Sitta

Makundi Nyimbo: Pasaka

Umepakiwa na: Alexander Francis Sitta

Umepakuliwa mara 709 | Umetazamwa mara 2,596

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio (Yoh. 6:63)

Roho ndiyo itiayo uzima mwili haufai kitu, maneno hayo niliyowaamia ni roho tena ni uzima.

Mabeti (Zab.18:8-10)

1. Sheria ya Bwana ni kamilifu huiburudisha nafsi,ushuhuda wa Bwana ni amini humtia mjinga hekima

2. Maagizo ya Bwana maagizo ya  Bwana ni ya adili huufurahisha moyo amri ya Bwana ni safi huyatia macho nuru.

3. Kicho cha Bwana ni kitakatifu kina dumu milele hukumu za Bwana ni kweli zina haki haki kabisa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa