Ingia / Jisajili

Siku Ile Niliyokuita

Mtunzi: B. Mapalala
> Tazama Nyimbo nyingine za B. Mapalala

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 5,358 | Umetazamwa mara 9,195

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Siku ile niliyokuita uliniitikia ukanifariji nafsi yangu kwa kunitia nguvu x 2

Mashairi:

1. Nitakushukuru kwa moyo wangu wote mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.

2. Nitakusujudu nikilikabili, nikilikabili hekalu lako takatifu.

3.  Nitalishukuru jina lako kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako.

4. Kwa maana umeikuza ahadi yako kuliko jina lako lote.

5. Maskini huyu aliita Bwana akasikia akamwokoa na taabu zake zote

Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Bernard Mapalala Aug 04, 2020
Nota ya kwanza, bar ya pili bass crotchet imekosewa. Ni (e) (ti) badala ya (f) (do). Naomba wahusika warekebishe.

claus Apr 05, 2018
nikijaribu kudownload nota za huu wimbo inagoma tatizo nini

Toa Maoni yako hapa