Ingia / Jisajili

Sisi Lakini Imetupasa

Mtunzi: Fr. Gregory F. Kayeta
> Tazama Nyimbo nyingine za Fr. Gregory F. Kayeta

Makundi Nyimbo: Juma Kuu

Umepakiwa na: Gervas Kombo

Umepakuliwa mara 10,759 | Umetazamwa mara 19,964

Download Nota
Maneno ya wimbo

ALHAMISI KUU MISA YA JIONI

BY: G.F.KAYETTA

Sisi lakini inatupasa kuona fahari kwa msalaba wa Bwana wetu fahari kwa msalaba wa Yesu Kristu

1. Sisi lakini inatupasa kuona fahari juu ya msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristu

2. Yeye ndiye wokovu uzima na ufufuo wetu nasi tumeokolewa na kusalimishwa naye

3. Nao walio wa Kristu Yesu wameusulubisha mwili, pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake


Maoni - Toa Maoni

DAVID Apr 22, 2017
Moja Kati Ya Nyimbo Bora Kuzisikia Masikioni Mwangu Haichoshi Kusikiliza Hongera Mtunzi.

Helminah Titus Mar 19, 2017
Naipenda sana hiyo nyimbo

Toa Maoni yako hapa