Ingia / Jisajili

Wewe Bwana Makao Yetu

Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
> Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Frt.John Nsenye

Umepakuliwa mara 510 | Umetazamwa mara 1,881

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

WEWE BWANA MAKAO YETU

We-we-Bwana, Umekuwamakao  yetu kizazi  baada ya ki- zazi, kizazi baada ya kizazi. x2

1. Wamrudisha mtu mavumbini , usemapo rudini Enyi wanadamu, maana miaka  elfu machoni pako ni kama siku ya jana ikii-sha kupita nikama kesha la usiku.      

2. Wawagharikisha huwa - kama usingizi kama majani ya meayo,  asubuhi ya-chipuka pia yamea;  jioni tena  yakatika ya kauka jioni,  jioni yakauka tena.
3. Basi utujulishe kuhesabu  na siku zetu  tuwe watu wahekima,  Ee Bwana  urudi lini na hatalini  Ee Bwana Mungu Uwahurumie wahurumie, na hawa watumishi wako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa