Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
                     
 > Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds                      
 > Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds                 
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Frt.John Nsenye
Umepakuliwa mara 574 | Umetazamwa mara 1,975
Download Nota Download MidiWEWE BWANA MAKAO YETU
We-we-Bwana, Umekuwamakao yetu kizazi baada ya ki- zazi, kizazi baada ya kizazi. x2
1. Wamrudisha mtu mavumbini , usemapo rudini Enyi wanadamu, maana miaka elfu machoni pako ni kama siku ya jana ikii-sha kupita nikama kesha la usiku.
	2. Wawagharikisha huwa - kama usingizi kama majani ya meayo,  asubuhi ya-chipuka pia yamea;  jioni tena  yakatika ya kauka jioni,  jioni yakauka tena.
	3. Basi utujulishe kuhesabu  na siku zetu  tuwe watu wahekima,  Ee Bwana  urudi lini na hatalini  Ee Bwana Mungu Uwahurumie wahurumie, na hawa watumishi wako.