Maneno ya wimbo
1. Zaeni matunda mema zaeni yenye baraka zaeni matunda mema zaeni ya heri...(K) Bwana akiyapokea yatabarikiwa vyema zaeni matunda mema zaeni ya heri X22. Safisha mwenendo wako safisha matendo yako safisha na Bwana Yesu safisha yote...3. Fanyeni kazi kindugu fanyeni kazi kwa bidii fanyeni na Bwana Yesu fanyeni yote...4. Tolea matunda yako pamoja na moyo wako naye Bwana Mungu wako atakubariki...5. Baraka za Mungu Baba baraka za Mungu Mwana na za Roho Mtakatifu ziwe nanyi nyote...
Nyimbo nyingine za mtunzi huyu