Ingia / Jisajili

Bwana ni Nuru Yangu

Mtunzi: Julius Anari
> Mfahamu Zaidi Julius Anari
> Tazama Nyimbo nyingine za Julius Anari

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Julius Anari

Umepakuliwa mara 504 | Umetazamwa mara 2,156

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Chorus: Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, (tena) ni ngome ya uzima wangu nimwogope nani? x2 Watesi wangu na adui zangu, walijikwaa tena wakanguka walipokuwa wakinikaribia. Na moyo wako usiwe na hofu, umtumaini Mwokozi Yesu Kristu Mwana wake Mungu.

1. Furaha yangu mimi, kukushirikisha wewe (Furaha yangu mimi kukushirikisha wewe), ujue kwamba Mungu yupo tena yupo kati yetu.

2. Bwana ni kinga yangu tena nimwogope nani, (Bwana ni kinga yangu tena nimwogope nani), Bwana ni ngome yangu mimi sasa sina chakuogopa.

3. Nimeamua mimi na maisha yangu yote (Nimeamua mimi na maisha yangu yote), nitakaa nyumbani mwake Mungu milele na milele.

Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa