Ingia / Jisajili

Nyenyekeeni Mbele za Mungu

Mtunzi: Justin Mbai
> Mfahamu Zaidi Justin Mbai
> Tazama Nyimbo nyingine za Justin Mbai

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Nivard Silvester

Umepakuliwa mara 550 | Umetazamwa mara 1,523

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Nyenyeekeni mbele za Mungu mkitoa shida zenu, mkisali na kuomba kwani yeye ni Mungu mkuu,tena mweza wa yote x2

Mshairi

1. Nyenyekeeni kwa Mungu mkuu, pelekeni shida zenu, mkisali, mkiomba na kushukuru, Asema Bwana

2. Shida zenu na matatizo yenu, mwambieni Mungu wenu, Mkifunga mkiomba na kushukuru, Asema Bwana

3. Kwani yeye ndiye mtukufu, muombeni Mungu wenu, mkifunga, na kuomba na kushukuru, Asema Bwana

4. Hakika Mungu ndiye mwenye enzi, anajua shida zenu, mwamini, ndiye mwema mwenye rehema, anaweza yote


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa