Ingia / Jisajili

NAMI NIMEZITUMAINIA FADHILI ZAKO

Mtunzi: Peter.g.lulenga
> Mfahamu Zaidi Peter.g.lulenga
> Tazama Nyimbo nyingine za Peter.g.lulenga

Makundi Nyimbo: Majilio | Mwanzo

Umepakiwa na: Geophrey Lulenga

Umepakuliwa mara 506 | Umetazamwa mara 1,989

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                                 NAMI NIMEZITUMAINIA FADHILI  ZAKO

KIITIKIO:Nami nimezitumainia  fadhili,fadhili  zako x2,moyo wangu na ufurahie wokovu wako,moyo wangu na  ufurahie  wokovu  wako x2


MASHAIRI:

1.Naam nimwimbie  nimwimbie Bwana kwa kuwa amenitendea amenitendea kwa ukarimu.

2.Adui yangu asije akasema  nimemshinda  watesi  wangu  wasifurahi  ninapoondoshwa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa