Ingia / Jisajili

EE BWANA UWE PAMOJA NAMI

Mtunzi: Peter.g.lulenga
> Mfahamu Zaidi Peter.g.lulenga
> Tazama Nyimbo nyingine za Peter.g.lulenga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Geophrey Lulenga

Umepakuliwa mara 515 | Umetazamwa mara 2,224

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

                                                                          EE BWANA UWE PAMOJA NAMI

KIITIKIO:Ee Bwana uwe pamoja nami katika taabu  zangu X2,Uwe pamoja nami katika taabu,katika taabu zangu X2

MASHAIRI:

1.Aketiye mahali pa siri pake aliye juu atakaa katika uvuli wake mwenyezi.

2.Nitasema Bwana ndiye kimbilio langu na ngome yangu Mungu wangu nitakayemtumainia.

3.Mabaya hayatakupata wewe wala tauni haitaikaribia hema yako.

4.Kwa kuwa atakuagizia malaika zake  wakulinde katika njia zako zote.

5.Ataniita nami nitamwitikia nitakuwa pamoja naye taabuni nitamwokoa na kumtukuza.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa