Ingia / Jisajili

Ahimidiwe Mungu ( Utatu Mtakatifu)

Mtunzi: Steven kiteve
> Mfahamu Zaidi Steven kiteve
> Tazama Nyimbo nyingine za Steven kiteve

Makundi Nyimbo: Misa | Shukrani | Utatu Mtakatifu

Umepakiwa na: Steven Kiteve

Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Utatu Mtakatifu Mwaka A
- Mwanzo Utatu Mtakatifu Mwaka B
- Mwanzo Utatu Mtakatifu Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ahimidiwe Mungu Baba na Mwanawe pekee, na Roho Mtakatifu, kwasababu ametutendea rehema yake.

1.Baba Mwana na Roho Mtakatifu, nafsi tatu katika Mungu mmoja.

2. Baba Muumba , Mwana Mkombozi, Roho Mtakatifu ni Mfariji.

3. Usifiwe utatu mtakatifu, na umoja usio gawanyika.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa