Mtunzi: Emily Mushi
> Mfahamu Zaidi Emily Mushi
> Tazama Nyimbo nyingine za Emily Mushi
Makundi Nyimbo: Misa
Umepakiwa na: Emily Mushi
Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiKiitikio
(Aleluya, Aleluya, Aleluya Aleluya Aleluya)x2
Mabeti:
1.Yesu alisema, Mtu akinipenda atalishika neno langu, (na Baba yangu atampenda nasi tuta kuja kwake)x2
AU
2. Nena Bwana kwa kuwa mtumishi wako anasikia, (wewe unayo manenoya uzima wa milele)x2
AU
3. Bwana maneno yako ni Roho tena ni Uzima, (wewe unayo maneno ya uzima wa milele)x2