Ingia / Jisajili

Aleluya

Mtunzi: Emily Mushi
> Mfahamu Zaidi Emily Mushi
> Tazama Nyimbo nyingine za Emily Mushi

Makundi Nyimbo: Misa

Umepakiwa na: Emily Mushi

Umepakuliwa mara 1 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

(Aleluya, Aleluya, Aleluya Aleluya Aleluya)x2

Mabeti:

1.Yesu alisema, Mtu akinipenda atalishika neno langu, (na Baba yangu atampenda nasi tuta kuja kwake)x2

AU

2. Nena Bwana kwa kuwa mtumishi wako anasikia, (wewe unayo manenoya uzima wa milele)x2

AU

3. Bwana maneno yako ni Roho tena ni Uzima, (wewe unayo maneno ya uzima wa milele)x2


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa