Ingia / Jisajili

Ataniita

Mtunzi: Fr. Gregory F. Kayeta
> Tazama Nyimbo nyingine za Fr. Gregory F. Kayeta

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mwanzo

Umepakiwa na: Vusile Silonda

Umepakuliwa mara 12,302 | Umetazamwa mara 21,014

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Ataniita nami nitamwitikia, nitamwokoa, na kumtukuza x 2

Mashairi:

1. Nitakuwa naye taabuni / nitamwokoa na kumtukuza

2. Kwa siku nyingi nitamshibisha / Nami nitamwonyesha wokovu wangu.
 
3. Kwa kuwa amekaza kunipenda / Nitamwokoa; na kumweka mahali palipo juu.
 
4. Kwa kuwa amenijua jina langu / Ataniita nami nitamwitikia.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa