Ingia / Jisajili

Sadaka Yangu

Mtunzi: Ezekiel mwalongo
> Mfahamu Zaidi Ezekiel mwalongo
> Tazama Nyimbo nyingine za Ezekiel mwalongo

Makundi Nyimbo: Sadaka / Matoleo

Umepakiwa na: Ezekiel Mwalongo

Umepakuliwa mara 17 | Umetazamwa mara 27

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ninakuja na sadaka yangu mbele zako  Bwana uipokee uitakase iwe safi kama ile sadaka ya Abeli x2

1.Tunaleta mkate zao la ngano tuliyo ipata kwako twakuomba uyabariki mashamba yetu Ee Bwana

2.Tunaleta divai tunda la mzabibu tulopata kwako twakuomba uitakase na kutubariki Ee Bwana

3. Tukatoe sadaka zetu na nia zetu kwa Bwana mpaji wa uzima mpaji wa vyote tulivyo navyo

4.Kwa imani Abeli alimtolea Mungu sadaka safi iliyo bora na ile ya kumpendeza Mungu



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa