Ingia / Jisajili

Ee Bwana niamkapo

Mtunzi: Christian Benedict Nkonya (Chribenko)
> Mfahamu Zaidi Christian Benedict Nkonya (Chribenko)
> Tazama Nyimbo nyingine za Christian Benedict Nkonya (Chribenko)

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Mika Wihuba

Umepakuliwa mara 296 | Umetazamwa mara 1,454

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 32 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

(Ee Bwana niamkapo) nishibishwe nishibishwe kwa sura yako (Ee Bwana) nishibishwe nishibishwe kwa sura yako x2.

1:Ee Bwana usikie haki, usikilize kilio changu, utege sikio kwa maombi yangu.

2:Nyayo zangu zimeshikamana, zimeshikama na njia zako, hatua zangu hazikuondoshwa.

3:Ee Mungu nimekuita, nimekuita umeitika, utege sikio lako unisikie.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa