Ingia / Jisajili

Ee Bwana Unihukumu

Mtunzi: Joseph Makoye
> Tazama Nyimbo nyingine za Joseph Makoye

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: respiqusi mutashambala

Umepakuliwa mara 8,511 | Umetazamwa mara 16,293

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe na mtu wa hila asiye haki. Kwakuwa wewe ndiwe Mungu uliye Nguvu zangu X2

1. Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze/  zinifikishe kwenye mlima wako mtakatifu, na hata maskani zako.

2. Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu/ Kwa Mungu aliye raha yangu na shangwe yangu.

3. Nitakusifu kwa kinubi/ Ee Mungu, Mungu wangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa