Ingia / Jisajili

Ee Bwana Unisaidie Hima

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 20 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana, unisaidie hima x2

1. Nalimngoja Bwana kwa saburi, Akaniinamia akakisikia kilio changu.

2. Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.

3. Akatia wimbo mpya kinywani mwangu, Ndio sifa zake Mungu wetu. Wengi wataona na kuogopa, Nao watamtumaini Bwana.

4. Nami ni maskini namhitaji, Bwana atanitunza. Ndiwe msaada wangu na wokovu wangu, Ee Mungu wangu, usikawie.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa