Ingia / Jisajili

Bwana Atawabariki Watu Wake Kwa Amani

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Ubatizo wa Bwana

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana atawabariki watu wake kwa amani x2

Bwana atawabariki Bwana (Bwana) Bwana atawabariki (Bwana) Bwana atawabariki watu wake kwa amani x2.

watu  wake kwa amani.

watu wake kwa amani.

1. Mpeni Bwana, enyi wana wa Mungu,
Mpeni Bwana utukufu na nguvu;
Mpeni Bwana utukufu wa jina lake;
Mwabuduni Bwana kwa uzuri wa utakatifu.

2. Sauti ya Bwana i juu ya maji
Bwana yu juu ya maji mengi
Sauti ya Bwana ina nguvu,
Sauti ya Bwana ina adhama. 

3. Sauti ya Bwana yawazalisha ayala,
Na ndani ya hekalu lake wanasema wote, Utukufu.
Bwana aliketi juu ya Gharika;
Naam, Bwana ameketi hali ya mfalme milele. 


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa