Ingia / Jisajili

Ee Mungu Uniokoe

Mtunzi: B.p.mwandu
> Mfahamu Zaidi B.p.mwandu
> Tazama Nyimbo nyingine za B.p.mwandu

Makundi Nyimbo: Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: Beatus Mwandu

Umepakuliwa mara 523 | Umetazamwa mara 1,951

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota
Maneno ya wimbo

Ee Mungu uniokoe,unisaidie hima(Bwana) ndiwe msaada wangu na Mwokozi Wangu Ee Bwana usikawie.
Maimbilizi.
1.Waaibike, wafedheheke, waitafutao nafsi yangu, warudishwe nyuma,watahayarishwe wapendezwao na shari yangu.
2.Nami maskini namhitaji Ee Mungu wangu,unijilie kwa haraka usikawie.
3.Washangilie, wakufurahie wote wakutafutao,waupendao wokovu wako waseme atukuzwe Mungu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa