Ingia / Jisajili

Ee Mungu Uniumbie Moyo Safi

Mtunzi: Furaha Mbughi
> Mfahamu Zaidi Furaha Mbughi
> Tazama Nyimbo nyingine za Furaha Mbughi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Furaha Mbughi

Umepakuliwa mara 9 | Umetazamwa mara 19

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Ee Mungu Ee Mungu uniumbie moyo safix2 Uifanye upya roho yangu, roho yangu iliyotulia ndani yangux2 1. Ee Mungu unirehemu sawaswa na fadhili zako kiasi cha wingi wa rehema zako, uyafute makosa yangu unioshe kabisa uovu wangu, unitakase dhambi zangu. 2. Ee Mungu uniumbie moyo safi, uifanye upya roho yangu iliyotulia ndani yangu, usinitenge na uso wako wala roho yako mtakatifu usiniondolee. 3. Unirudishie furaha ya wokovu wako, unitegemeze kwa roho ya wepesi, nitawafundisha wakosaji njia, na wenye dhambi watarejea kwako.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa