Ingia / Jisajili

Furahini Katika Bwana

Mtunzi: EDWIN J.Rugwiza
> Mfahamu Zaidi EDWIN J.Rugwiza
> Tazama Nyimbo nyingine za EDWIN J.Rugwiza

Makundi Nyimbo: Majilio

Umepakiwa na: Edwin Rugwiza

Umepakuliwa mara 40 | Umetazamwa mara 59

Download Nota
Maneno ya wimbo

Furahini(katika Bwana) furahini(katika Bwana) Tena nasema furahini Bwana yu karibu.

1.waisrael waambiwa wafurahi kwani Bwana aja,kuwakomboa toka utumwani na taabuni

2.Nasi tufurahi kwasababu mkombozi atakapofika taabu zote zitageuka kuwa heri na furaha


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa