Ingia / Jisajili

Heri Waendao Katika Sheria Ya Bwana-3

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 6 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

[Heri waendao katika sheria ya Bwana] X2.

[Heri, heri waendao katika sheria ya Bwana, heri waendao katika sheria ya Bwana]x2

1. Heri walio kamili walio kamili njia zao, waendao katika sheria sheria ya Bwana.

Heri wazitiio shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wote.

2. Wewe umetuamuru mausia yako, ili sisi tuyatii sana tuyatii sana.

Ningependa njia zangu ziwe thabiti, nizitii amri zako.

3. Umtendee mtumishi wako mtumishi wako ukarimu, nipate kuishi, nami nitalitii neno lako.

Unifumbue macho yangu niyatazame, maajabu yatokayo katika sheria yako.

4. Ee Bwana, unifundishe njia ya amri zako, nami nitazishika hata mwisho.

Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa