Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson
Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi
Umepakiwa na: Richard Samson
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 4 Mwaka A
Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao, Maana ufalme wa mbinguni ni wao X2
1. Bwana huishika huishika kweli milele, huwafanyia hukumu walioonewa,
Huwapa wenye njaa wenye njaa chakula; Bwana hufungua walio waliofungwa;
2. Bwana huwafumbua macho waliopofuka; Bwana huwainua walioinama;
Bwana huwahifadhi wageni; huwategemeza yatima na mjane.
3. Bwana huwapenda huwapenda wenye haki; bali njia ya wasio haki nayo huipotosha.
Bwana atamiliki atamiliki milele, Mungu wako, Ee Sayuni, kizazi hata kizazi Aleluya.