Ingia / Jisajili

Uturehemu Ee Bwana

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Jumatano ya Majivu
- Katikati Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Uturehemu Ee Bwana, Uturehemu Ee Bwana, kwa kuwa tumetenda dhambi X2

1. Ee Mungu, Unirehemu sawasawa na fadhili zako

Kiasi cha wingi wa rehema zako, uyafute makosa yangu unioshe kabisa na uovu wangu,

Unitakase dhambi zangu.

2. Maana nimejua mimi makosa yangu makosa yangu, na dhambi yangu i mbele yangu daima.

Nimekutenda dhambi Wewe peke yako, Na kufanya maovu mbele za macho yako.

3. Ee Mungu, uniumbie moyo safi moyo safi,

uifanye upya roho iliyotulia ndani yangu,

Usinitenge na uso wako, wala roho yako mtakatifu usiniondolee.

4. Unirudishie, furaha ya wokovu wako wokovu wako,

Unitegemeze kwa roho ya wepesi.

Ee Bwana, uifumbue midomo yangu, na kinywa changu kitazinena sifa zako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa