Ingia / Jisajili

Hongera kwa kuwa Parokia

Mtunzi: F. C. Mabogo
> Mfahamu Zaidi F. C. Mabogo
> Tazama Nyimbo nyingine za F. C. Mabogo

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Shukrani

Umepakiwa na: Fredrick Charles

Umepakuliwa mara 893 | Umetazamwa mara 2,344

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo


1.     Leo siku ya furaha pia leo ni siku ya shangwe kwetu, Waamini wote wa Mhandu, tupeane hongera

Hongera Viongozi, hongera waamini, Hongera kwa kuwa Parokia*2

2.      Leo tunamshukuru Mungu Baba, Kwa Baraka na neema nyingi, Alizotujalia sisi sote tunasema Asante

3.     Tunapofurahia leo kuwa Parokia kamili pia, Twaalikwa kutafakari, Sinodi ya Afrika

4.     Pia leo twasema asante Mtakatifu Kizito, kwa maombezi yako tokea mwanzo, Leo twawakaribisheni Petro na Paulo, Mtuombee


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa