Ingia / Jisajili

Ingekuwa Heri Leo Msikie Sauti Yake

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 5

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 27 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO:

Ingekuwa heri leo msikie sauti yake! (Msifanye migumu mioyo yenu, msifanye migumu mioyo yenu, mioyo yenu msifanye migumu mioyo yenu) x2.

Mabeti:

1. Njoni tumwimbie Bwana, Tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu. Tuje mbele yake kwa shukrani, Tumfanyie shangwe kwa zaburi.

2. Njoni, tuabudu, tusujudu, Tupige magoti mbele za Bwana aliyetuumba. Kwa maana ndiye Mungu wetu, Na sisi, tu watu wa malisho yake, Na kondoo za mkono wake.

3. Ingekuwa heri leo msikie sauti yake: Msifanye migumu mioyo yenu; Kama vile huko Meriba; Kama siku ya Masa jangwani, Hapo waliponijaribu baba zenu, Wakanipima, wakayaona matendo yangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa