Ingia / Jisajili

Karibu Bwana Yesu.

Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka
> Tazama Nyimbo nyingine za Faustini F.Mganuka

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Faustini Mganuka

Umepakuliwa mara 2 | Umetazamwa mara 0

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO.

Karibu Bwana Yesu Kaa nami moyoni mwangu uwe na Mimi siku zote unipe hero ya milele. X2

Unilishe mwili wako uninyweshe damu Yako ili nipate uzima uzima wa milele. X2

SHAIRI.

1. Mwili wako Yesu ni Chakula cha uzima, damu Yako ni kinywaji cha uzima.

2. Heri mtu yule ampokeaye Bwana anaheri ya uzima wa milele

3. Si kama wale walokula mana wakafa bali hiki ni chakula cha uzima.

4. Siku zote Bwana utulishe mwili wako, ilitufike huko juu mbinguni.



Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa