Ingia / Jisajili

Ataniita Nami Nitamwitikia

Mtunzi: Faustini F.Mganuka
> Mfahamu Zaidi Faustini F.Mganuka

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mwanzo

Umepakiwa na: Faustini Mganuka

Umepakuliwa mara 47 | Umetazamwa mara 62

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Antifona / Komunio Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka A
- Antifona / Komunio Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka B
- Antifona / Komunio Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka C
- Antifona / Komunio Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka A
- Antifona / Komunio Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka B
- Antifona / Komunio Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

   Ataniita nami nitamwitikia nitamuokoa  na kumtukuza kwa siku nyingi nitamshibisha.x2

SHAIRI.

1. Nitakuwa pamoja naye taabuni kwa siku nyingi nitamshibisha sitamuacha.

2. Kwa kuwa amekeza kunipenda nitamwokoa na kumweka palipo inuka.

3. Nitasema Bwana ndiye kimbilio langu na ngome yangu Mungu ninayemtumaini





Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa