Mtunzi: Frt Joshua Mkuni
> Mfahamu Zaidi Frt Joshua Mkuni
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt Joshua Mkuni
Makundi Nyimbo: Mazishi
Umepakiwa na: Joshua Mkuni
Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0
Download Nota Download MidiUtangulizi
Kwaheri m(wa)pendwa wetu tutaku(wa)kumbuka sama mwendo u(mu)meumaliza
Kiitikio
Mungu mwenyezi uliye toa (sasa umetwaa) um(wa) pokee kwwnye makao ya Mbinguni
Mashairi
1.Ndugu wanalia jamaa pia, hakika pengo la(le)ko(nu) halita zibika
2. Mwanga wa milele umu(wa)angazie a(wa)pumzike kwa amani
Hitimisho
Kwaherix2 Mungu akipenda tutaonana tena