Ingia / Jisajili

Mimi Ndimi Mkate Wa Uzima

Mtunzi: Mmole G.
> Tazama Nyimbo nyingine za Mmole G.

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Gereon Mmole

Umepakuliwa mara 613 | Umetazamwa mara 2,237

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio

Mimi ndimi mkate wa uzima asema Bwa na, mimi ndimi mkate wa uzima yeye ajaye kwangu hataona njaa kabisa, naye aniaminiye hataona kiu kamwe. x2

Viimbilizi

1. Yesu anasema, Baba yangu anawapa ninyi, chakula cha kweli kitokacho mbinguni.

2. Amini Amini, msipoula mwili wake Mwana wa Adamu, na kuinywa damu yake hamna uzima ndani yenu.

3. Aulaye mwili wangu, nakuinywa damu yangu, anao uzima wa milele nami nitamfufua siku ya mwisho.

4. Aulaye mwili wangu, nakuinywa damu yangu, hukaa ndani yangu nami hukaa ndani yake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa