Ingia / Jisajili

Na Ahimidiwe Bwana

Mtunzi: Florian P. Ndwata
> Mfahamu Zaidi Florian P. Ndwata
> Tazama Nyimbo nyingine za Florian P. Ndwata

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 491 | Umetazamwa mara 2,159

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Na ahimidiwe yeye aketiye juu, kwa jina la Bwana x 2.

Mashairi:

1 (a) Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema

   (b) Kwa maana fadhili zake ni za milele,

   (c) Ni heri kumkimbilia Bwana.

2 (a) Nifungulieni malango ya haki

    (b) Nitaingia na kumfuata Bwana

    (c)  Lango hili ni lango la Bwana.

3  (a) Ee Bwana utuokoe twakusihi

     (b) Ee Bwana utufanikishe twakusihi

     (c) Abarikiwe ajaye kwa jina la Bwana


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa