Ingia / Jisajili

Nakusihi Unipokee

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,334 | Umetazamwa mara 5,000

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Bwana sasa ninakuja (kwako) naomba unipokee (e bwana), japo mimi ni mdhambi (tena) kiumbe dhaifu sana (kwani) najua kwamba sistahili mbele zako lakini ninakusihi sana (e bwana) bwana nipokee (x2)

Mashairi:

1. Kwenye makao yako bwana unikaribishe, penye neema zako usisite kuniita, unipe tumaini lako (bwana) niwapo kwenye shida, uwe nami siku zote ninapokuhitaji

2. Nitakukabidhi maishi yangu bwana uyabadilishe, nitakukabidhi moyo wangu uufanye uwe mpya, nitajikabidhi kwako siku zote za maisha yangu, bwana nakusihi sana unipokee.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa