Ingia / Jisajili

Ndimi Mkate Wa Uzima

Mtunzi: Frt. Godfrey Masokola
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. Godfrey Masokola

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Godfrey MASOKOLA

Umepakuliwa mara 944 | Umetazamwa mara 2,605

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio.  Ndimi mkate wa uzima, (uzima) ulioshuka toka mbinguni (yeye)

                   aulaye mwili wangu nakuinywa damu yangu hukaa ndani yangu

                                              nami hukaaa ndani yake (yeye) x 2.

1. anilaye mimi hataona njaa kamwe ataishi milele, ataishi milele milele yote

2. Tena anilye anauzima wa milele, nitamfufua, nitamfufua siku ya mwisho

3.Maana mwili wangu ni chakula kweli na damu yangu ni kinywaji cha uzima, ni uzima


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa