Ingia / Jisajili

Sheria Yako Naipenda

Mtunzi: Nivard S Mwageni
> Mfahamu Zaidi Nivard S Mwageni
> Tazama Nyimbo nyingine za Nivard S Mwageni

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Nivard Silvester

Umepakuliwa mara 430 | Umetazamwa mara 1,155

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
Kiitikio: Sheria yako Bwana naipenda sheria yako Bwana, Sheria yako Bwana naipenda naipenda mno ajabu x2 Maimbilizi: 1.Bwana ndiye aliye fungu langu nimesema kwamba nitayatii maneno yako, sheria ya kinywa changu ni njema kwangu, kuliko maelfu ya dhahabu na fedha. 2. Nakuomba fadhili zako ziwe faraja kwangu sawasawa na ahadi yako, rehema zako zinijie nipate kuishi, maana sheria yako ni furaha kwangu. 3. Ndio maana nimeyapenda maagizo yako kuliko dhahabu iliyo safi, maana nayaona mausia yako kuwa ya adili, kila njia ya uongo naichukia. 4. Shuhuda zako ni za ajabu ndio maana roho yangu imezishika, kufafanusha maneno yako kwatia nuru, kwatia nuru kumfahamisha mjinga.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa