Ingia / Jisajili

Sheria Yako Naipenda Mno Ajabu

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: Richard Samson

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 17 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Zab.119:57,72,76-77,127-130,(K)97

Sheria yako naipenda mno ajabu; Sheria yako naipenda mno ajabu x2

1a. Bwana ndiye aliye fungu langu, nimesema kwamba nitayatii maneno yako.
b. Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.

2a. Nakuomba fadhili zako, ziwe faraja ziwe faraja faraja kwangu,
b. Sawasawa na ahadi yako, ahadi yako kwa mtumishi mtumishi wako.

3a. Rehema zako zinijie, rehema zako zinijie nipate kuishi;
b. Maana sheria yako, ni furaha ni furaha yangu furaha yangu. 

4a. Ndiyo maana nimeyapenda, maagizo yako kuliko dhahabu dhahabu iliyo safi;
b. Maana nayaona, mausia yako yote kuwa ya adili kila njia ya uongo naichukia.

5a. Shuhuda zako ni za ajabu, ndiyo maana roho yangu imezishika;
b. Kufafanusha maneno yako, kwatia nuru kwatia nuru na kumfahamisha mjinga.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa