Ingia / Jisajili

Ee Bwana Uwape Amani-1

Mtunzi: Eng.Richard Samson
> Mfahamu Zaidi Eng.Richard Samson
> Tazama Nyimbo nyingine za Eng.Richard Samson

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mwanzo

Umepakiwa na: Shiivah Ric

Umepakuliwa mara 0 | Umetazamwa mara 0

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 24 Mwaka A
- Mwanzo Dominika ya 24 Mwaka B
- Mwanzo Dominika ya 24 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ybs.36.15-16

Ee Bwana, uwape amani, amani wakungojao (Bwana); Ee Bwana, uwape amani, amani wakungojao

[Ili watu (ili watu) wawasadiki, wawasadiki manabii wako; Ili watu (ili watu) wawasadiki, wawasadiki manabii wako] x2

1.    1.Usikilize sala, yao wakuombao, na ya taifa taifa lako taifa lako Isareli

2.    2.Uuonee huruma, mji wako Mtakatifu, uijaze Sayuni uijaze na adhama yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa