Ingia / Jisajili

Uhai

Mtunzi: Maximilian L. Bukuru
> Mfahamu Zaidi Maximilian L. Bukuru
> Tazama Nyimbo nyingine za Maximilian L. Bukuru

Makundi Nyimbo: Anthem | Mafundisho / Tafakari | Tenzi za Kiswahili

Umepakiwa na: Maximilian Bukuru

Umepakuliwa mara 613 | Umetazamwa mara 1,571

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo
1a} Uhai ni pumzi yake Bwana Mungu Muumbaji, b} Tunu ya thamani iliyopo juu ya nchi. (Ni Neema Takatifu apewayo mtu, ili aishi mema ya Mungu duniani ×2) 2a} Kulinda Uhai (wangu) ni jukumu langu Mkristo, b} Kutetea haki (ya ku)ishi ndio wangu wito. (Kuhifadhi vyema mwili dhidi (ya) mauti, na kupambana vita dhidi ya dhambi na uovu ×2) 3a} Twayalilia ma(ma---)isha twabeza uhai, b} Kwa shingo twakaza(za---) vichwa kubeba kiburi.  (Twasahau Neema Kuu kuto(ka) kwa Mungu, huku kwa visu nazo sumu twafyeka yake pumzi ×2) 4a} Uovu watama(ma---)laki dhambi yafurika, b} Wanadamu wame(me---)asi, wakana uzima. (Wakiipinga sheria yake (-ke) Mungu Mkuu, wakifuata haja ya tamaa za ulimwengu ×2) 5a} Mauaji yasha(sha---)miri damu yazizima, b} Nchi zachinja wa (wa---)toto kwa watu wazima. (Wanadamu wakataa kuli(nda) uhai, waharibu vizazi wasishiriki uumbaji ×2) 6a} Kwa unyekevu (mkubwa) twakuomba msamaha, b} Ukainusuru (ru---) aridhi yenye hatia. (Urudishe tena hofu yako (du)niani, mpaka mataifa wakutambue Mungu wa Haki.

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa