Ingia / Jisajili

UNIHURUMIE

Mtunzi: Stephano Ntemi
> Mfahamu Zaidi Stephano Ntemi
> Tazama Nyimbo nyingine za Stephano Ntemi

Makundi Nyimbo: Zaburi | Juma Kuu | Kwaresma

Umepakiwa na: STEPHANO NTEMI

Umepakuliwa mara 612 | Umetazamwa mara 1,577

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

unihurumie Ee Mungu wangu (Mungu wangu), unisafishe makosa yanguX2

unioshe kabisa, hatia yangu, unisafishe makosa yangu.X2

1. Ninakiri kabisa makosa makosa yangu, naiona dhambi na uovu wangu, unihurumie ee Mungu wangu.

2. Nimetenda mabaya, mabaya mbele yako, mimi ni mkosefu tangu kuzaliwa kwangu, tangu tumboni mwa mama yangu

3. Wewe unataka unyofu ndani yangu nifundishe hekima moyoni mwangu, unitakase nitakate bwana

4. Nijaze furaha na shangwe nifurahishe mimi uliye niponda, usiziangalie dhambi zangu,

5. Uzifute hatia zangu zote niwezeshe kusema kusema ee bwana, midomo yangu iimbe sifa zako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa